<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>        <rss version="2.0"
             xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
             xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
             xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
             xmlns:admin="http://webns.net/mvcb/"
             xmlns:rdf="http://www.w3.org/1999/02/22-rdf-syntax-ns#"
             xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
        <channel>
            <title>
									Gospel Lyrics - Mhariri Forum				            </title>
            <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/</link>
            <description>Mhariri Discussion Board</description>
            <language>en-US</language>
            <lastBuildDate>Fri, 01 May 2026 00:13:43 +0000</lastBuildDate>
            <generator>wpForo</generator>
            <ttl>60</ttl>
							                    <item>
                        <title>Ezekia Israel – Wewe Ni Mwema Lyrics</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/ezekia-israel-wewe-ni-mwema-lyrics/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:38:45 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Naja mbele zako Mungu wangu
Nikiwa nazo heshima zote
Ninakili yale uyatendayo
Hakika wewe ni mwema
Naja mbele zako Mungu wangu
Nikiwa nazo heshima zote
Ninakili yale uyatendayo
Hakika...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Naja mbele zako Mungu wangu</p>
<p>Nikiwa nazo heshima zote</p>
<p>Ninakili yale uyatendayo</p>
<p>Hakika wewe ni mwema</p>
<p>Naja mbele zako Mungu wangu</p>
<p>Nikiwa nazo heshima zote</p>
<p>Ninakili yale uyatendayo</p>
<p>Hakika wewe ni mwema</p>
<p>Hakika wewe ni mwema</p>
<p>Wewe ni mwema</p>
<p>Haufananishwi</p>
<p>Wewe ni mwema baba</p>
<p>Wewe ni mwema</p>
<p>Haufananishwi</p>
<p>Wewe ni mwema baba</p>
<p>Wewe ndiwe baba wa mataifa</p>
<p>Unatenda mambo ya ajabu</p>
<p>Ninakili yale uyatendayo</p>
<p>Hakika wewe ni mwema</p>
<p>Wewe ndiwe baba wa mataifa</p>
<p>Unatenda mambo ya ajabu</p>
<p>Ninakili yale uyatendayo</p>
<p>Hakika wewe ni mwema</p>
<p>Wewe ni mwema</p>
<p>Haufananishwi</p>
<p>Wewe ni mwema baba</p>
<p>Wewe ni mwema</p>
<p>Haufananishwi</p>
<p>Wewe ni mwema baba</p>
<p>Wewe ni mwema</p>
<p>Haufananishwi</p>
<p>Wewe ni mwema baba</p>
<p>Naja mbele zako Mungu wangu</p>
<p>Nikiwa nazo heshima zote</p>
<p>Ninakili yale uyatendayo</p>
<p>Hakika, hakika</p>
<p>Hakika wewe ni mwema</p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/ezekia-israel-wewe-ni-mwema-lyrics-na-jumbe-za-nguvu/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/ezekia-israel-wewe-ni-mwema-lyrics/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Bahati -Wewe Ni Mungu Lyrics</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/bahati-wewe-ni-mungu-lyrics/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:37:20 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Wewe ni mungu mungu wa sisi sote
huruma rehema zako ziko tu popote
una majina mengi
wewe ni mungu wa wengi
mungu wa milimani
mungu wa tambarare
mungu wa kanisani
mungu misikitini
mun...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Wewe ni mungu mungu wa sisi sote</p>
<p>huruma rehema zako ziko tu popote</p>
<p>una majina mengi</p>
<p>wewe ni mungu wa wengi</p>
<p>mungu wa milimani</p>
<p>mungu wa tambarare</p>
<p>mungu wa kanisani</p>
<p>mungu misikitini</p>
<p>mungu wa milimani</p>
<p>mungu wa tambarare</p>
<p>mungu wa kanisani</p>
<p>ninaye mwamini mimi</p>
<p>wewe ni mungu mungu wa sisi sote</p>
<p>huruma rehema zako ziko tu popote</p>
<p>wewe ni mungu unatupenda sote</p>
<p>wewe ni baba</p>
<p>wewe ni shamah kote</p>
<p>ukanipa name</p>
<p>ukanipa love</p>
<p>ukanipa fame</p>
<p>ukanipa wife</p>
<p>ukanipa favour na hii ni tie</p>
<p>your blessings is all i got father</p>
<p>ukanipa name</p>
<p>ukanipa love</p>
<p>ukanipa fame</p>
<p>na beautiful wife</p>
<p>ukanipa haters wanipe syke</p>
<p>thankyou</p>
<p>nimerudi na wimbo</p>
<p>wacha nikuimbie, baba</p>
<p>ukiona napotea nirudie</p>
<p>baba</p>
<p>wewe ni mungu mungu wa sisi sote</p>
<p>huruma rehema zako ziko tu popote</p>
<p>wewe ni mungu mungu wa sisi sote</p>
<p>huruma rehema zako ziko tu popote</p>
<p>wewe ni mungu unatupenda sote</p>
<p>wewe ni baba</p>
<p>wewe ni shamah kote</p>
<p>eeeeh (sote)</p>
<p>eeeeh (sote)</p>
<p>wewe ni mungu</p>
<p>unatupenda sote</p>
<p>wewe ni baba wewe ni shamah, kote</p>
<p>wewe ni mungu</p>
<p>mungu wa sisi sote</p>
<p>huruma rehema zako</p>
<p>ziko tu popote</p>
<p>wewe ni mungu unatupenda sote</p>
<p>wewe ni baba wewe ni shamah kote</p>
<p>wewe ni mungu</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/bahati-wewe-ni-mungu-lyrics/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Killy and Harmonize- Ni Wewe Lyrics</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/killy-and-harmonize-ni-wewe-lyrics/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:35:47 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Turururu ruru rurururuuu mmmnh…! mnh…!
Kama mapenzi ni uchawi umeniendea ngende
Maana nahisi nimezaliwa nije nikupende
Aah…! Jangwani pakavu umeota mtendee
Eeh…! Waubani waubavu sema wap...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Turururu ruru rurururuuu mmmnh…! mnh…!</p>
<p>Kama mapenzi ni uchawi umeniendea ngende</p>
<p>Maana nahisi nimezaliwa nije nikupende</p>
<p>Aah…! Jangwani pakavu umeota mtendee</p>
<p>Eeh…! Waubani waubavu sema wapi twendeee</p>
<p>Jua mapenzi ni siri iiiih yani toka enzi zile za mababu</p>
<p>Usije ukaghairi babee mazoea yakanipa tabuu uuuh</p>
<p>Aaaaah chuchuchu basi nipe hata kiduchu</p>
<p>Sifa ya mume awe na uchu usiruhusu nikapiga puchu</p>
<p>Eeeeeh chuchuchu basi nipe hata kiduchu</p>
<p>Sifa ya mume awe na uchu usiruhusu nikapiga puchuuuuh uuuh uh</p>
<p>Oooh baby you make me sing this song</p>
<p>Ni wewe ni we (ni weeeh)</p>
<p>Ni wewe (I don’t wanna do you wrong)</p>
<p>Ni wewe (ooh baby ni wee)</p>
<p>Njagala kuvaa nawee</p>
<p>Ni wewe ni we</p>
<p>Ni wewe ni we</p>
<p>Ni wewe ni we (eeeh njagala kuvaa nawee ma baby)</p>
<p>Mapenzi asili yake upofu na unapopenda hupaoni</p>
<p>Usishangae mtu kuacha minofu na akala vya vichochoroni</p>
<p>Aaaaah Halima kwa ajili yako ninajinyima</p>
<p>Penzi nishakatia na bima</p>
<p>Moyo wangu kata we ndo kisima mmmh baby baby</p>
<p>Nakuitaga mtaka cha uvungu kwa maana hata tabu kuinama</p>
<p>Na unapolishika hilo rungu mwenzako vinywele vinanisimama</p>
<p>Aaaaah tututu usizinyoe nikusuke mabutu</p>
<p>Mkunaji kapewa ukurutu</p>
<p>Yani kama chuma kinaliwa na kutu</p>
<p>Aaaaah tututu usizinyoe nikusuke mabutu</p>
<p>Mkunaji kapewa ukurutu</p>
<p>Yani kama chuma kinaliwa na kutu</p>
<p>I swear baby you make me sing this song</p>
<p>Ni wewe ni we (ni weeeh)</p>
<p>Ni wewe (I don’t wanna do you wrong)</p>
<p>Ni wewe (ooh baby ni wee)</p>
<p>Njagala kuvaa nawee</p>
<p>Ni wewe ni we</p>
<p>Ni wewe ni we</p>
<p>Ni wewe ni we (eeeh njagala kuvaa nawee ma baby)</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/killy-and-harmonize-ni-wewe-lyrics/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Yesu kwetu ni rafiki lyrics</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/yesu-kwetu-ni-rafiki-lyrics/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:34:33 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Yesu kwetu ni rafiki,
Haja zote hujua,
Tukiomba kwa Babaye
Maombi asikia,
Lakini twajikosesha,
Twajitweka vibaya,
Kwamba tukimwomba Mungu,
Dua atasikia.
Una dhiki na maonjo?
Una mas...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Yesu kwetu ni rafiki,</p>
<p>Haja zote hujua,</p>
<p>Tukiomba kwa Babaye</p>
<p>Maombi asikia,</p>
<p>Lakini twajikosesha,</p>
<p>Twajitweka vibaya,</p>
<p>Kwamba tukimwomba Mungu,</p>
<p>Dua atasikia.</p>
<p>Una dhiki na maonjo?</p>
<p>Una mashaka pia?</p>
<p>Haifai kufa moyo,</p>
<p>Dua atasikia.</p>
<p>Hakuna mwingine mwema</p>
<p>Wa kutuhurumia</p>
<p>Atujua tu dhaifu,</p>
<p>Maombi asikia.</p>
<p>Je, hunazo hata nguvu,</p>
<p>Huwezi  kwendelea?</p>
<p>Ujapodharauliwa,</p>
<p>Ujaporushwa pia,</p>
<p>Watu wangekudharau,</p>
<p>Wapendao dunia</p>
<p>Hukwambata mikononi,</p>
<p>Dua atasikia.</p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/yesu-kwetu-ni-rafiki-lyrics-na-mafunzo/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/yesu-kwetu-ni-rafiki-lyrics/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Wewe Ni Baba by Essence Of Worship Lyrics</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/wewe-ni-baba-by-essence-of-worship-lyrics/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:31:15 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[haku haku haku haku yee
umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani
matendo yako makuu ya ajabu
yatisha kama nini
umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani
matendo yako makuu ya ajabu
yatish...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>haku haku haku haku yee</p>
<p>umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani</p>
<p>matendo yako makuu ya ajabu</p>
<p>yatisha kama nini</p>
<p>umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani</p>
<p>matendo yako makuu ya ajabu</p>
<p>yatisha kama nini</p>
<p>umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani</p>
<p>matendo yako makuu ya ajabu</p>
<p>yatisha kama nini</p>
<p>wewe ni Baba, ni Baba ni Baba</p>
<p>wewe ni Mungu, ni Mungu ni Mungu</p>
<p>umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani</p>
<p>matendo yako makuu ya ajabu</p>
<p>yatisha kama nini</p>
<p>umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani</p>
<p>matendo yako makuu ya ajabu</p>
<p>yatisha kama nini</p>
<p>umeinuliwa zaidi ya milima yote duniani</p>
<p>matendo yako makuu ya ajabu</p>
<p>yatisha kama nini</p>
<p>wewe ni Baba, ni Baba ni Baba</p>
<p>wewe ni Mungu, ni Mungu ni Mungu</p>
<p>pokea sifa utukufu wote Baba (unastahili)</p>
<p>pokea sifa utukufu wote Baba (unastahili)</p>
<p>pokea sifa utukufu wote Baba (unastahili)</p>
<p>wewe ni Baba, ni Baba ni Baba</p>
<p>wewe ni Mungu, ni Mungu ni Mungu</p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/wewe-ni-baba-by-essence-of-worship-lyrics-na-mafunzo/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/wewe-ni-baba-by-essence-of-worship-lyrics/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Mungu ni Mungu lyrics by Christopher Mwahangila</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/mungu-ni-mungu-lyrics-by-christopher-mwahangila/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:30:18 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Nabii Elijah, aliwaita manabii wote, wa mungu Baali
Nabii Elijah, aliwaita manabii wote, wa mungu Baali
Lengo la Elijah, ilikuwa ni kumthibitisha Mungu wa kweli ni yupi,
Kati ya mungu wa ...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Nabii Elijah, aliwaita manabii wote, wa mungu Baali</p>
<p>Nabii Elijah, aliwaita manabii wote, wa mungu Baali</p>
<p>Lengo la Elijah, ilikuwa ni kumthibitisha Mungu wa kweli ni yupi,</p>
<p>Kati ya mungu wa baali, na Mungu wa mbinguni.</p>
<p>Akawambia watu nikaribieni mimi, akachukua mawe kumi na mbili akaanza kujenga madhabau.</p>
<p>Akaweka kuni juu yake, akaweka sadaka juu yake,</p>
<p>Akachimba mfereji ,akawambia watu mwageni maji mapipa manne,</p>
<p>Wakamwaga maji mara ya kwanza, wakamwaga maji mara ya pili, wakamwaga maji mara ya tatu.</p>
<p>Elijah, akaanza kumuita Mungu, Mungu wa mbinguni, wewe Mungu, wewe Mungu</p>
<p>Mungu wa mbinguni naijulikane kuwa upo,</p>
<p>Wewe Mungu, wewe Mungu,</p>
<p>Mungu wa mbinguni naijulikane kuwa upo</p>
<p>Moto ukashuka ,ukaramba ile sadaka, ukaramba zile kuni, ukaramba na yale mawe,</p>
<p>Ukaramba na yale mavuno, ukaramba na yale maji,</p>
<p>Watu wakasujudu, wakasema huyu ndiye Mungu, anayepaswa kuabudiwa,</p>
<p>Ndiye Mungu ninaye mwimbia Mungu wa Elijah.</p>
<p>Ooh Mungu (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Ooh Mungu baba (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Huyu Mungu wa mbinguni jamani (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Huyu Mungu wa Elijah (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Maishani mwako mama yangu wewe (Mungu ni Mungu tu)</p>
<p>Mahali pote unapotembea (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Ata wainuke wamseme vibaya (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Ata wamkatae mbele yako (atabaki kuwa Mungu tu).</p>
<p>Na wewe ndugu yangu, unayenisikia, unaye nitazama,</p>
<p>Unaona nini mbele yako? Unaona nini mbele yako?</p>
<p>pengine unaona majaribuaujui utafanya nini, we mkaribie Mungu tu,</p>
<p>Pengine unaona magonjwa, haujui utapona lini we mkaribie Mungu tu.</p>
<p>Pengine unaona vita kubwa, haujui utashinda vipi, we mkaribie Mungu tu.</p>
<p>Pengine unaona watesi, haujui utapita vipi, we mkaribie Mungu tu.</p>
<p>Pengine ni jaribu katika ndoa yako, haujui utashinda vipi, we mkaribie Mungu tu.</p>
<p>Hakuna linaloshidikana kwake Mungu</p>
<p>Hakuna linaloshidikana kwake</p>
<p>Hakuna linaloshidikana kwake Mungu</p>
<p>Hakuna linaloshidikana kwake,</p>
<p>Aliyemshindia Elijah,</p>
<p>Katikati manabii wa baali atakushindia na wewe.</p>
<p>Ooh Mungu (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Ooh Mungu baba (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Huyu Mungu wa mbinguni jamani (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Huyu Mungu wa Elijah (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Maishani mwako mama yangu wewe (Mungu ni Mungu tu)</p>
<p>Mahali pote unapotembea (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Ata wainuke wamseme vibaya (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Ata wamkatae mbele yako (atabaki kuwa Mungu tu).</p>
<p>Wanadamu wamekusemea maneno, kwamba hautaweza ,katika jaribu lako,</p>
<p>Wanadamu wamekusemea maneno, kwamba hautashinda katika vita yako,</p>
<p>Kumbe njia za Mungu, sio sawa na za mwanadamu</p>
<p>Njia za Mungu, sio sawa na za mwanadamu</p>
<p>Mipango ya Mungu ,sio sawa na ya mwanadamu,</p>
<p>Akili ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu,</p>
<p>Maneno ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu,</p>
<p>Mawazo ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu,</p>
<p>Kazi ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu,</p>
<p>Sauti ya Mungu ,sio sawa na ya mwanadamu</p>
<p>Aliye mshindia Elijah,</p>
<p>katikati ya manabii wa baali atakushindia na wewe.</p>
<p>Ooh Mungu (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Ooh Mungu baba (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Huyu Mungu wa mbinguni jamani (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Huyu Mungu wa Elijah (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Maishani mwako mama yangu wewe (Mungu ni Mungu tu)</p>
<p>Mahali pote unapotembea (atabaki kuwa Mungu tu),</p>
<p>Ata wainuke wamseme vibaya (Mungu ni Mungu tu),</p>
<p>Ata wamkatae mbele yako (atabaki kuwa Mungu tu).</p>
<p> </p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/mungu-ni-mungu-lyrics-na-ujumbe-wa-kujifunza/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/mungu-ni-mungu-lyrics-by-christopher-mwahangila/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Naijulikane wewe Ni Mungu By Ruth Wamuyu</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/naijulikane-wewe-ni-mungu-by-ruth-wamuyu/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:28:34 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Naijulikane wewe ni mungu
Naijulikane wewe waweza
Naijulikane watenda mambo makuu
Naijulikane duniani kote
Niko mbele zako miguuni mwako
Nimenyenyekea nikutafute
Mahitaji yangu ninakul...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Naijulikane wewe ni mungu</p>
<p>Naijulikane wewe waweza</p>
<p>Naijulikane watenda mambo makuu</p>
<p>Naijulikane duniani kote</p>
<p>Niko mbele zako miguuni mwako</p>
<p>Nimenyenyekea nikutafute</p>
<p>Mahitaji yangu ninakuletea</p>
<p>Mizigo yote nakuwachia</p>
<p>Naijulikane wewe ni mungu</p>
<p>Naijulikane wewe waweza</p>
<p>Naijulikane watenda mambo makuu</p>
<p>Naijulikane duniani kote</p>
<p>Ninayo imani unayaweza</p>
<p>Muweza yote unanitosha</p>
<p>Msaidizi wakati kama huu</p>
<p>Nakuamini nanyenyekea</p>
<p>Naijulikane wewe ni mungu</p>
<p>Naijulikane wewe waweza</p>
<p>Naijulikane watenda mambo makuu</p>
<p>Naijulikane duniani kote</p>
<p>Naijulikane wewe ni mungu</p>
<p>Naijulikane wewe waweza</p>
<p>Naijulikane watenda mambo makuu</p>
<p>Naijulikane duniani kote</p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/naijulikane-wewe-ni-mungu-lyrics-na-ujumbe-wake/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/naijulikane-wewe-ni-mungu-by-ruth-wamuyu/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Bwana Ni Mchungaji Wangu by Reuben Kigame</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-by-reuben-kigame/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:27:44 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Bwana ni mchungaji wangu, sitapungukiwa kitu.
Hulaza kwenye majani mabichi, hunongoza kwa maji tulivu.
Hunihuisha nafsi yangu, hunioongoza kwa njia za haki.
Nipitapo bondeni mwa mauti, si...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Bwana ni mchungaji wangu, sitapungukiwa kitu.</p>
<p>Hulaza kwenye majani mabichi, hunongoza kwa maji tulivu.</p>
<p>Hunihuisha nafsi yangu, hunioongoza kwa njia za haki.</p>
<p>Nipitapo bondeni mwa mauti, sitaogopa wewe u nami.</p>
<p>Siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Gongo lako na fimbo yako vinanifiariji mimi.</p>
<p>Huandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-lyrics-na-ujumbe-muhimu/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-by-reuben-kigame/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Ni tabibu wa karibu lyrics by Angela Chibalonza</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/ni-tabibu-wa-karibu-lyrics-by-angela-chibalonza/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:26:21 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[AYA YA 1:
Nitabibu wa karibu
tabibu wa ajabu
na nehema na daima
ni dawa yake njema
hatufai kuwa hai
wala hatatumai ila yeye kweli ndiye
atupumzishaye
CHORUS LYRICS:
Imbeni malaika s...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p><strong>AYA YA 1:</strong></p>
<p>Nitabibu wa karibu</p>
<p>tabibu wa ajabu</p>
<p>na nehema na daima</p>
<p>ni dawa yake njema</p>
<p>hatufai kuwa hai</p>
<p>wala hatatumai ila yeye kweli ndiye</p>
<p>atupumzishaye</p>
<p><strong>CHORUS LYRICS:</strong></p>
<p>Imbeni malaika sifa</p>
<p>za Yesu Bwana</p>
<p>Pweke limetukuka Jina lake Yesu</p>
<p><strong>AYA YA 2:</strong></p>
<p>Dhambi pia na hatia ametuchukulia</p>
<p>twenendeni na amani</p>
<p>hata kwake mbinguni</p>
<p>uliona tamu jina la Yesu Kristo Bwana</p>
<p>Yuna sifa mwenye kufa hasishindwe na kufa</p>
<p><strong>CHORUS LYRICS:</strong></p>
<p>Imbeni malaika sifa</p>
<p>za Yesu Bwana</p>
<p>Pweke limetukuka (limetukuka) Jina lake Yesu</p>
<p><strong>AYA YA 3:</strong></p>
<p>Kila mume asimame</p>
<p>sifa zake zivume</p>
<p>wanawake na washike</p>
<p>kusifu jina lake</p>
<p><strong>CHORUS LYRICS:</strong></p>
<p>Imbeni malaika (sifa) sifa</p>
<p>za Yesu Bwana (ooh pweke)</p>
<p>Pweke limetukuka (limetukuka) Jina lake Yesu</p>
<div class="sharedaddy sd-sharing-enabled">
<div class="robots-nocontent sd-block sd-social sd-social-icon-text sd-sharing">
<h3 class="sd-title"> </h3>
</div>
</div>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/ni-tabibu-wa-karibu-lyrics-by-angela-chibalonza/</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Dedo Dieumerci Ft Naomi Mugiraneza – Majina Yote Mazuri ni Yako lyrics</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/dedo-dieumerci-ft-naomi-mugiraneza-majina-yote-mazuri-ni-yako-lyrics/</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:21:23 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Majina yote mazuri ni yako, eh
Johava Muumbaji wangu
Nikupe jina gani, kwani kila
Lakiheri ni upekee wako
Majina yote mazuri ni yako, eh
Johava Muumbaji wangu
Nikupe jina gani, kwani k...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Majina yote mazuri ni yako, eh</p>
<p>Johava Muumbaji wangu</p>
<p>Nikupe jina gani, kwani kila</p>
<p>Lakiheri ni upekee wako</p>
<p>Majina yote mazuri ni yako, eh</p>
<p>Johava Muumbaji wangu</p>
<p>Nikupe jina gani, kwani kila</p>
<p>Lakiheri ni upekee wako</p>
<p>Majina yotee!</p>
<p>Majina yote mazuri ni yako, eh</p>
<p>Johava Muumbaji wangu</p>
<p>Nikupe jina gani, kwani kila</p>
<p>Lakiheri ni upekee wako</p>
<p>Nikupee jina gani!!!</p>
<p>Nikupe jina gani, kwani kila</p>
<p>Lakiheri ni upekee wako</p>
<p>Majina yoteee!!!!</p>
<p>Majina yote mazuri ni yako, eh</p>
<p>Johava Muumbaji wangu</p>
<p>Nikupe jina gani, kwani kila</p>
<p>Lakiheri ni upekee wako</p>
<p>Umeniponyaaa!</p>
<p>Umeniponya nakuita Jehova</p>
<p>Rapha Mungu, Mponyaji Wangu</p>
<p>Umenikoaaa!!</p>
<p>Umeniokoa nakuita Mwokozi</p>
<p>Bwana Mungu wa wokovu wangu</p>
<p>Umenipigania!!!</p>
<p>Umenipigania nakuita Jehova</p>
<p>Nisi bendera ya ushindi wangu</p>
<p>Umeniponya!</p>
<p>Umeniponya nakuita Jehova</p>
<p>Rapha Mungu, Mponyaji Wangu</p>
<p>Umeniokoa!</p>
<p>Umeniokoa nakuita Mwokozi</p>
<p>Bwana Mungu wa wokovu wangu</p>
<p>Umenipigania Yesu!!!</p>
<p>Umenipigania nakuita Jehova</p>
<p>Nisi Bendera ya ushindi wangu</p>
<p>Umenipigania!!!!!</p>
<p>Umenipigania nakuita Jehova</p>
<p>Nisi Bendera ya ushindi wangu</p>
<p>Usifiiiiweee!!!</p>
<p>Usifiwe ewe bwana MUUMBA</p>
<p>Wangu na nuru yangu</p>
<p>Wema wako wanijaza moyoni…</p>
<p>Wewe ndiwe Mchungaji wangu</p>
<p>Tena kiongozi wa maisha yangu</p>
<p>Wanitazama kama mboni ya jicho lako</p>
<p>Usifiwe ewe bwana MUUMBA</p>
<p>Wangu na nuru yangu</p>
<p>Wema wako wanijaza moyoni…</p>
<p>Wewe ndiwe Mchungaji wangu</p>
<p>Tena kiongozi wa maisha yangu</p>
<p>Wanitazama kama mboni ya jicho lako</p>
<p>Usifiwe ewe bwana MUUMBA</p>
<p>Wangu na nuru yangu</p>
<p>Wema wako wanijaza moyoni…</p>
<p>Wewe ndiwe Mchungaji wangu</p>
<p>Tena kiongozi wa maisha yangu</p>
<p>Wanitazama kama mboni ya jicho lako</p>
<p>Umenifanyaaaa!!</p>
<p>Umenifanya kuwa kielelezo cha walio barikiwa</p>
<p>Zaidi ya yote ukanifanya kuwa baraka</p>
<p>ili nami nibariki</p>
<p>Nimekupata wewe nami nikaridhika</p>
<p>Wewe ni yote ndani ya yote</p>
<p>Usifiwe ewe bwana MUUMBA</p>
<p>Wangu na nuru yangu</p>
<p>Wema wako wanijaza moyoni…</p>
<p>Wewe ndiwe Mchungaji wangu</p>
<p>Tena kiongozi wa maisha yangu</p>
<p>Wanitazama kama mboni ya jicho lako</p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/majina-yote-mazuri-ni-yako-lyrics-na-ujumbe-wa-nyimbo/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/dedo-dieumerci-ft-naomi-mugiraneza-majina-yote-mazuri-ni-yako-lyrics/</guid>
                    </item>
							        </channel>
        </rss>
		