<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>        <rss version="2.0"
             xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
             xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
             xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
             xmlns:admin="http://webns.net/mvcb/"
             xmlns:rdf="http://www.w3.org/1999/02/22-rdf-syntax-ns#"
             xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
        <channel>
            <title>
									Bwana Ni Mchungaji Wangu by Reuben Kigame - Gospel Lyrics				            </title>
            <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-by-reuben-kigame/</link>
            <description>Mhariri Discussion Board</description>
            <language>en-US</language>
            <lastBuildDate>Fri, 15 May 2026 20:11:54 +0000</lastBuildDate>
            <generator>wpForo</generator>
            <ttl>60</ttl>
							                    <item>
                        <title>Bwana Ni Mchungaji Wangu by Reuben Kigame</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-by-reuben-kigame/#post-130</link>
                        <pubDate>Wed, 17 Apr 2024 18:27:44 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Bwana ni mchungaji wangu, sitapungukiwa kitu.
Hulaza kwenye majani mabichi, hunongoza kwa maji tulivu.
Hunihuisha nafsi yangu, hunioongoza kwa njia za haki.
Nipitapo bondeni mwa mauti, si...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Bwana ni mchungaji wangu, sitapungukiwa kitu.</p>
<p>Hulaza kwenye majani mabichi, hunongoza kwa maji tulivu.</p>
<p>Hunihuisha nafsi yangu, hunioongoza kwa njia za haki.</p>
<p>Nipitapo bondeni mwa mauti, sitaogopa wewe u nami.</p>
<p>Siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Gongo lako na fimbo yako vinanifiariji mimi.</p>
<p>Huandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.</p>
<p>Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.</p>
<p>https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-lyrics-na-ujumbe-muhimu/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/">Gospel Lyrics</category>                        <dc:creator>kwamboka</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/jukwaa-la-gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-by-reuben-kigame/#post-130</guid>
                    </item>
							        </channel>
        </rss>
		