<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>        <rss version="2.0"
             xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
             xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
             xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
             xmlns:admin="http://webns.net/mvcb/"
             xmlns:rdf="http://www.w3.org/1999/02/22-rdf-syntax-ns#"
             xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
        <channel>
            <title>
									Una maoni gani kuhusu mwito wa wanachama wa UDA wa Nairobi wa kupunguza matamshi ya kisiasa ndani ya muungano wa Kenya Kwanza? - Kenya				            </title>
            <link>https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/</link>
            <description>Mhariri Discussion Board</description>
            <language>en-US</language>
            <lastBuildDate>Wed, 22 Apr 2026 12:13:47 +0000</lastBuildDate>
            <generator>wpForo</generator>
            <ttl>60</ttl>
							                    <item>
                        <title>Answer to: Una maoni gani kuhusu mwito wa wanachama wa UDA wa Nairobi wa kupunguza matamshi ya kisiasa ndani ya muungano wa Kenya Kwanza?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-304</link>
                        <pubDate>Mon, 03 Jun 2024 19:42:08 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Nakuunga mkono kwa sababu hizi vita za maneno kwa wanasiasa inafanya wafuasi wao pia kupigana na kuwa na uadui kwa sababu ya matamshi ya viongozi wao. Lazima wanasiasa waajibike kwa yale mat...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Nakuunga mkono kwa sababu hizi vita za maneno kwa wanasiasa inafanya wafuasi wao pia kupigana na kuwa na uadui kwa sababu ya matamshi ya viongozi wao. Lazima wanasiasa waajibike kwa yale matamshi isije ikaleta chuki na fujo. Ingawa katiba imewapea uhuru wa kuongea wanafaa kuwekewa mipaka. Wamezidi na hawasemezeki.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/kenya/">Kenya</category>                        <dc:creator>EMaina</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-304</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>RE: Una maoni gani kuhusu mwito wa wanachama wa UDA wa Nairobi wa kupunguza matamshi ya kisiasa ndani ya muungano wa Kenya Kwanza?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-303</link>
                        <pubDate>Mon, 03 Jun 2024 19:39:55 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[@dmaroko Nakuunga mkono kwa sababu hizi vita za maneno kwa wanasiasa  inafanya wafuasi wao pia kupigana na kuwa na uadui kwa sababu ya matamshi ya viongozi wao. Lazima wanasiasa waajibike kw...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[@dmaroko Nakuunga mkono kwa sababu hizi vita za maneno kwa wanasiasa  inafanya wafuasi wao pia kupigana na kuwa na uadui kwa sababu ya matamshi ya viongozi wao. Lazima wanasiasa waajibike kwa yale matamshi isije ikaleta chuki na fujo. Ingawa katiba imewapea uhuru wa kuongea wanafaa kuwekewa mipaka. Wamezidi na hawasemezeki.]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/kenya/">Kenya</category>                        <dc:creator>EMaina</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-303</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Una maoni gani kuhusu mwito wa wanachama wa UDA wa Nairobi wa kupunguza matamshi ya kisiasa ndani ya muungano wa Kenya Kwanza?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-249</link>
                        <pubDate>Sun, 02 Jun 2024 13:53:20 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Nahisi kwamba tunarudi nyuma kama nchi tukianza kuwa na misimamo kama hii. Katiba inaruhusu uhuru wa kuongea. Haijalishi uko katika chama gani, unazungumzia kuunga ama kupinga chama chako. W...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Nahisi kwamba tunarudi nyuma kama nchi tukianza kuwa na misimamo kama hii. Katiba inaruhusu uhuru wa kuongea. Haijalishi uko katika chama gani, unazungumzia kuunga ama kupinga chama chako. Wanasiasa wana uhuru wa kuongelelea mambo tofauti katika vyama vyao bila kuzuiliwa kwa njia yeyote. Kwa kusema haya nahisi inafaa kuwa kidhibiti au adabu kwa njia ambayo wanasiasa wanazungumza. Wanayoyasema yawe na uwezo kuvisaidia vyama vyao kuenda mbele ila si kuvitawanya.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/kenya/">Kenya</category>                        <dc:creator>dmaroko</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-249</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Una maoni gani kuhusu mwito wa wanachama wa UDA wa Nairobi wa kupunguza matamshi ya kisiasa ndani ya muungano wa Kenya Kwanza?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-187</link>
                        <pubDate>Tue, 28 May 2024 18:07:17 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Tone down political rhetoric, Nairobi UDA MCAs tell Kenya Kwanza leaders]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Tone down political rhetoric, Nairobi UDA MCAs tell Kenya Kwanza leaders</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/kenya/">Kenya</category>                        <dc:creator>Aisling Beatha</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/kenya/una-maoni-gani-kuhusu-mwito-wa-wanachama-wa-uda-wa-nairobi-wa-kupunguza-matamshi-ya-kisiasa-ndani-ya-muungano-wa-kenya-kwanza/#post-187</guid>
                    </item>
							        </channel>
        </rss>
		