<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>        <rss version="2.0"
             xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
             xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
             xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
             xmlns:admin="http://webns.net/mvcb/"
             xmlns:rdf="http://www.w3.org/1999/02/22-rdf-syntax-ns#"
             xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
        <channel>
            <title>
									Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa? - Maswali na majibu ya biblia				            </title>
            <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/</link>
            <description>Mhariri Discussion Board</description>
            <language>en-US</language>
            <lastBuildDate>Sun, 08 Mar 2026 03:37:55 +0000</lastBuildDate>
            <generator>wpForo</generator>
            <ttl>60</ttl>
							                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-479</link>
                        <pubDate>Mon, 10 Jun 2024 04:43:35 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Bibilia inaeleza wazi kuwa kuna maisha baaada ya kifo.hila wale tu waliomwamini mwenyezi mungu na kufwata mahagizo yake ndio watakao okolewa.mda tu ikifika wakati yesu atarudi duniani,wale w...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Bibilia inaeleza wazi kuwa kuna maisha baaada ya kifo.hila wale tu waliomwamini mwenyezi mungu na kufwata mahagizo yake ndio watakao okolewa.mda tu ikifika wakati yesu atarudi duniani,wale waliofariki watafufuliwa wa kwanza kwenda kumlaki mwana kondoo kisha walio hai watanyuvuliwa juu.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Iscah</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-479</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-416</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:22:29 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Mathayo 25:46 ESVNa hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele, bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.&quot;]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Mathayo 25:46 ESV<br />Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele, bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele."</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-416</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-415</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:21:56 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Ufunuo 1:18 ESVNa aliye hai. nalikufa, na tazama, ni hai hata milele na milele, nami ninazo funguo za Mauti na Kuzimu.]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Ufunuo 1:18 ESV<br />Na aliye hai. nalikufa, na tazama, ni hai hata milele na milele, nami ninazo funguo za Mauti na Kuzimu.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-415</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-414</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:21:28 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Mhubiri 12:7 ESVNa mavumbi hurudi ardhini kama yalivyokuwa, na roho inamrudia Mungu aliyeitoa.]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Mhubiri 12:7 ESV<br />Na mavumbi hurudi ardhini kama yalivyokuwa, na roho inamrudia Mungu aliyeitoa.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-414</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-413</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:21:01 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Yohana 5:28-29 ESVMsistaajabie hayo, kwa maana saa inakuja ambayo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake na kutoka, wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliofanya mabaya...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Yohana 5:28-29 ESV<br />Msistaajabie hayo, kwa maana saa inakuja ambayo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake na kutoka, wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliofanya mabaya kwa ufufuo wa hukumu.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-413</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-412</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:20:29 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Warumi 10:9-13 ESV Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini na kuhes...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Warumi 10:9-13 ESV <br />Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini na kuhesabiwa haki, na kwa kinywa mtu hukiri na kuokolewa. Kwa maana Maandiko Matakatifu yasema: "Kila amwaminiye hatatahayarika." Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki; kwa maana Bwana wa wote ni yeye yule, huwapa wote wamwitao utajiri wake. Kwa maana “kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa.”</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-412</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-411</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:10:21 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Mhubiri 9:5 ESVKwa maana walio hai wanajua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana thawabu tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Mhubiri 9:5 ESV<br />Kwa maana walio hai wanajua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana thawabu tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/paged/2/#post-411</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/#post-410</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:09:45 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Mithali 12:28 ESVKatika njia ya haki kuna uhai, na katika njia yake hakuna kifo.]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Mithali 12:28 ESV<br />Katika njia ya haki kuna uhai, na katika njia yake hakuna kifo.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/#post-410</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/#post-409</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:09:26 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Yohana 14:6Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima. mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi.]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Yohana 14:6<br />Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima. mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi.</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/#post-409</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: Biblia inasema nini kuhusu uzima baada ya kufa?</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/#post-408</link>
                        <pubDate>Tue, 04 Jun 2024 18:09:03 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Ufunuo 21:4 ESVNaye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita....]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Ufunuo 21:4 ESV<br />Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.”</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/">Maswali na majibu ya biblia</category>                        <dc:creator>Kalif</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-biblia/biblia-inasema-nini-kuhusu-uzima-baada-ya-kufa/#post-408</guid>
                    </item>
							        </channel>
        </rss>
		