<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>        <rss version="2.0"
             xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
             xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
             xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
             xmlns:admin="http://webns.net/mvcb/"
             xmlns:rdf="http://www.w3.org/1999/02/22-rdf-syntax-ns#"
             xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/">
        <channel>
            <title>
									mifano ya vitendawili na majibu - Maswali na majibu ya Kiswahili				            </title>
            <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/</link>
            <description>Mhariri Discussion Board</description>
            <language>en-US</language>
            <lastBuildDate>Wed, 22 Apr 2026 10:57:42 +0000</lastBuildDate>
            <generator>wpForo</generator>
            <ttl>60</ttl>
							                    <item>
                        <title>Answer to: mifano ya vitendawili na majibu</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-560</link>
                        <pubDate>Tue, 11 Jun 2024 13:30:58 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Mifano ya Vitendawili ni kama:
Chumba change kina ukuta niondoa na kuusimika nitakapo. PaziaChungu change cha udongo hakipasuki kikianguka. Mjusi/PanyaChungu kikubwa sana chenye kifuniko ki...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Mifano ya Vitendawili ni kama:</p>
<p>Chumba change kina ukuta niondoa na kuusimika nitakapo. Pazia<br /><br />Chungu change cha udongo hakipasuki kikianguka. Mjusi/Panya<br /><br />Chungu kikubwa sana chenye kifuniko kikubwa sana. Dunia na mbingu<br /><br />Dada yangu akitoka kwao harudi kamwe. Jani likwanyukapo<br /><br />Dada yangu kaoga nusu. Jiwe mtoni<br /><br />Drrrrrh1 Ng’ambo. Daraja la buibui</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/">Maswali na majibu ya Kiswahili</category>                        <dc:creator>NickMakau</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-560</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: mifano ya vitendawili na majibu</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-551</link>
                        <pubDate>Tue, 11 Jun 2024 12:58:55 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[B1. Baba alinipa mfupa, nikautunza ukawa fahali. Muwa2. Baba ameweka mkuki nje nikashindwa kuukwea, mdogo wangu akaukwea. Sisimizi4. Babako akojoapo hunung’unika. Mawingu5. Babu amefunga ush...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>B<br /><br />1. Baba alinipa mfupa, nikautunza ukawa fahali. Muwa<br /><br />2. Baba ameweka mkuki nje nikashindwa kuukwea, mdogo wangu akaukwea. Sisimizi<br /><br />4. Babako akojoapo hunung’unika. Mawingu<br /><br />5. Babu amefunga ushanga shingoni. Mtama/Nazi<br /><br />6. Babu anakula ng’ombe, analea fupa linakuwa ng’ombe. Muwa<br /><br />7. Babu hupiga kelele akojoapo. Mvua<br /><br />8. Babu mkubwa ameangushwa na babu mdogo. Mti na shoka<br /><br />9. Babu, nyanya, mjomba, mama, baba na watoto, mna safari ya wapi? Siafu<br /><br />10. Bak bandika, bak bandua. Nyayo<br /><br />11. Bawabu mmoja tu asiyeogopa chochote duniani. Mlango<br /><br />12. Bibi kikongwe apepesa ufuta. Kope za macho<br /><br />13. Bibi yake hutandikwa kila siku, lakini hatoroMoyoKinu cha kutwangia</p>
<p><a href="https://mhariri.com/kamusi/vitendawili-vya-kiswahili-na-majibu-yake/" target="_blank" rel="noopener">Soma zaidi hapa.</a></p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/">Maswali na majibu ya Kiswahili</category>                        <dc:creator>Amostar</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-551</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: mifano ya vitendawili na majibu</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-539</link>
                        <pubDate>Tue, 11 Jun 2024 08:30:33 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[F1. Fahali wa ng’ombe na mbuzi wadogo machungani. Mwezi na nyota angani2. Fika umwone umpendaye. Kioo3. Fuko kajifukia, mkia kaacha nje. Kata mtungini4. Funga mizigo twende Kongo. Mikia ya m...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>F<br />1. Fahali wa ng’ombe na mbuzi wadogo machungani. Mwezi na nyota angani<br /><br />2. Fika umwone umpendaye. Kioo<br /><br />3. Fuko kajifukia, mkia kaacha nje. Kata mtungini<br /><br />4. Funga mizigo twende Kongo. Mikia ya mbwa</p>
<p><a href="https://mhariri.com/kamusi/vitendawili-vya-kiswahili-na-majibu-yake/" target="_blank" rel="noopener">Soma zaidi hapa</a></p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/">Maswali na majibu ya Kiswahili</category>                        <dc:creator>Naigunjo</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-539</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: mifano ya vitendawili na majibu</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-522</link>
                        <pubDate>Mon, 10 Jun 2024 19:03:25 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Hizi hapa ni vitendawili:

Akitokea watu wote humwona. Jua
Akitokea watu wote hunungunika na kuwa na huzuni. Ugonjwa
Akivaa nguo hapendezi, akiwa uchi apendeza. Mgomba
Alipita mtu ana b...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Hizi hapa ni vitendawili:</p>
<ul>
<li>Akitokea watu wote humwona. Jua</li>
<li>Akitokea watu wote hunungunika na kuwa na huzuni. Ugonjwa</li>
<li>Akivaa nguo hapendezi, akiwa uchi apendeza. Mgomba</li>
<li>Alipita mtu ana bunda la mshale. Mkindu</li>
<li>Alipita mtu mwenye kibandiko cha nguo. Inzi</li>
</ul>
<p>soma zaidi: https://mhariri.com/kamusi/vitendawili-vya-kiswahili-na-majibu-yake/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/">Maswali na majibu ya Kiswahili</category>                        <dc:creator>Maunene</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-522</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>Answer to: mifano ya vitendawili na majibu</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-521</link>
                        <pubDate>Mon, 10 Jun 2024 18:56:22 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[1. Adui lakini po pote uendako yuko nawe. Inzi2. Afahamu kuchora lakini hajui achoracho. Konokono3. Afuma hana mshale. Nungunungu4. Ajenga ingawa hana mikono. Ndege5. Ajifungua na kujifunika...]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>1. Adui lakini po pote uendako yuko nawe. Inzi<br /><br />2. Afahamu kuchora lakini hajui achoracho. Konokono<br /><br />3. Afuma hana mshale. Nungunungu<br /><br />4. Ajenga ingawa hana mikono. Ndege<br /><br />5. Ajifungua na kujifunika. Mwavuli</p>
<p>Soma zaidi hapa: https://mhariri.com/kamusi/vitendawili-vya-kiswahili-na-majibu-yake/</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/">Maswali na majibu ya Kiswahili</category>                        <dc:creator>derrick</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-521</guid>
                    </item>
				                    <item>
                        <title>mifano ya vitendawili na majibu</title>
                        <link>https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-461</link>
                        <pubDate>Sun, 09 Jun 2024 15:16:05 +0000</pubDate>
                        <description><![CDATA[Vitendawili na majibu]]></description>
                        <content:encoded><![CDATA[<p>Vitendawili na majibu</p>]]></content:encoded>
						                            <category domain="https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/">Maswali na majibu ya Kiswahili</category>                        <dc:creator>ikrstymy</dc:creator>
                        <guid isPermaLink="true">https://mhariri.com/community/maswali-na-majibu-ya-kiswahili/mifano-ya-vitendawili-na-majibu/#post-461</guid>
                    </item>
							        </channel>
        </rss>
		