Martha Mwaipaja – Wewe Ni Baba Lyrics Na Mafunzo

Hapa utapata Wewe Ni Baba Lyrics by Martha Mwaipaja. Mwishoni utapata jumbe muhimu kutoka kwa huu wimbo na vifungu vya biblia vinavyohusiana na huu wimbo.

Martha Mwaipaja Wewe Ni Baba Lyrics

Nikitafakari jinsi Mungu

Alivyonipenda mimi

Nikitafakari jinsi Mungu

Alivyonipenda mimi

Hata kunidhamini mimi niliyekuwa

Nimedharauliwa na watu

Hata kunidhamini mimi niliyekuwa

Nimedharauliwa na watu

Nikitafakari jinsi Mungu

Alivyonipenda mimi

Nikitafakari jinsi Mungu

Alivyonipenda mimi

Hata kunidhamini mimi niliyekuwa

Nimedharauliwa na watu

Hata kunidhamini mimi niliyekuwa

Nimedharauliwa na watu

Kweli nimejua Mungu wangu

Yeye sio mwanadamu

Kweli nimejua Mungu wangu

Yeye sio mwanadamu

Kama angekuwa mwanadamu

Nisingefika leo

Kama angekuwa mwanadamu

Nisingefika leo

Maana katika kilio changu

Wengi walinitenga

Maana katika machozi yangu

Wengi walinitenga

Sikumuona hata mpendwa

Wa kunifariji

Sikumuona hata mpendwa

Wa kunifariji

Nikalia Mungu wangu

Mbona umeniacha

Nikalia Mungu wangu

Mbona umeniacha

Mbona umeacha fedheha

Katika maisha yangu

Mbona umeacha fedheha

Katika maisha yangu

Mungu wangu akasema

Nipo baba mwenye upendo

Mungu wangu akasema

Nipo baba mwenye upendo

Maana mimi naitwa baba

Kwa wasio na baba

Maana mimi ninaitwa mume

Kwa wasio na mume

Maana mimi naitwa baba

Kwa wasio na baba

Maana mimi ninaitwa mume

Kwa wasio na mume

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba ah

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba ah

Wewe ni baba wa watu wote

Naomba tazama watu wako

Wewe ni baba wa watu wote

Naomba tazama watu wako

Ni wengi wanalia

Wanakuhitaji baba

Ni wengi wanakuta

Wanakuhitaji Yesu

Ni wengi wanalia

Wanakuhitaji baba

Ni wengi wanakuta

Wanakuhitaji Yesu

Tazama wengi ni wajane

Tazama wengi ni yatima

Tazama wengi ni wagonjwa

Tazama wengi wametengwa

Wengine uchumi umekuwa

Ni jangwa kwao

Wengine utasa umekuwa fedheha kwao

Watazame ba-a-a-ba

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba ah

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Wewe ni baba mwema kwangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba

Uhimidiwe Mungu wangu

Wewe ni baba ah

Ujumbe kutoka kwa wimbo Wewe Ni Baba by Martha Mwaipaja

Maneno ya wimbo “Wewe Ni Baba wa Martha Mwaipaja” yanawasilisha ujumbe muhimu, kama vile:

Upendo wa Mungu

Wimbo unaanza kwa kutafakari upendo wa Mungu. Mwimbaji anaimba jinsi Mungu alimpenda ingawa alikataliwa na kudharauliwa na wengine. Upendo huu ni ukumbusho wenye nguvu wa neema na huruma ya Mungu.

Nitafakari jinsi Mungu Alivyonipenda Mimi”

“Hata kunidhamini mimi niliyekuwa”

“Kweli nimejua Mungu wangu yeye sio mwanadamu”

Tofauti kati ya Mungu na wanadamu

Mwimbaji pia anatofautisha upendo wa Mungu na upendo wa wanadamu. Mwimbaji anaimba kuhusu jinsi mara nyingi wanadamu huwaacha wale wanaoteseka, lakini Mungu hawaachi kamwe. Tofauti hii inasisitiza uaminifu wa Mungu na upendo thabiti.

“Kama angekuwa mwanadamu Nisingefika leo”

“Maana katika kilio changu wengi walinitenga”

Wito wa kumsifu Mungu

Wimbo unaisha kwa mwito wa kumsifu Mungu. Mwimbaji anaimba kuhusu jinsi Mungu alivyo Baba mwema na mwenye upendo, na kwamba anastahili kusifiwa. Wito huu wa kusifu ni ukumbusho kwamba tunapaswa daima kushukuru kwa upendo na neema ya Mungu.

“Wewe ni baba mwema kwangu”

“Uhimidiwe Mungu wangu”

Vifungu vya biblia vinavyohusiana na huu wimbo:

  • Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (Yohana 3:16)
  • Hakuna mtu mwenye upendo unaozidi ule wa mtu anayejitoa afe kwa ajili ya rafiki zake. (Yohana 15:13)
  • Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu. (2 Wathesalonike 3:3)
  • Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni. (1 Petro 5:7)
  • Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushu kuru 7 Na amani ya Mungu, ambayo inapita ufahamu wote, italinda mioyo yenu na nia zenu kwa Kristo Yesu. (Wafilipi 4:6)
Related Posts