Chakula in English

Maana ya katika Kiswahili

Chakula ni kitu kinacholiwa.

Mfano: Ugali ni chakula kinacholiwa na watu wengi Afrika Mashariki.

Kisawe cha chakula ni mlo.

Chakula in English

Chakula in English ni food. Ufafanuzi wa food in English ni:

“any nutritious substance that people or animals eat or drink or that plants absorb in order to maintain life and growth.”

Food in English ni ni neno la jumla linaloweza kurejelea aina yoyote ya chakula, kiwe kigumu, kioevu, au hata vitafunio.

Hapa kuna baadhi ya mifano ya chakula na tafsiri yake in English:

  • Mboga: Vegetables
  • Nyama: Meat
  • Samaki: Fish
  • Nafaka: Grains
  • Matunda: Fruits
  • Maziwa: Milk
  • Mayai: Eggs
  • Sukari: Sugar
  • Chumvi: Salt

Majina mengine ya chakula in English ni:

Meal – the food eaten during a meal.

Food in Kiswahili

Food in Kiswahili ni chakula.

Related Posts