Monkeys in Swahili

Monkey definition in English

A monkey is a small to medium-sized primate that typically has a long tail, most kinds of which live in trees in tropical countries.

Monkeys in Swahili

There are several words for “monkey” in Swahili, depending on monkey types:

1. Nyani: The common translation of monkey in Swahili is nyani. Which refers to baboon monkey.

baboon- nyani

Nyani ni myanyama wa jamii ya ndegere lakini mkubwa zaidi mwenye rangi ya kijivu na baka jekundu kwenye matako.

2. Tumbili: Tumbili refers to black-faced vervet monkey.

tumbili, vervet monkey

Maana ya tumbili/ Tumbili meaning

Tumbili ni mnyama wa jamii ya nyani, mwenye rangi ya kijivu isiyokoza na uso mweusi.

3. Ngedere: Ngedere refers to a small monkey.

ndegere - small monkey

4. Kima: Kima in mostly refers to blue Monkey.

kima, Colobus Monkey

Maana ya kima/ Kima meaning

Mnyama wa jamii ya nyani, mkubwa kama tumbili lakini mweusi.

5. Mbega: Mbega refers to colobus monkey.

Mbega, Colobus Monkey

Mbega ni myama wa jamii ya kima mwenye manyonya marefu ya rangi nyeupe na nyeusi kwenye mabega.

Related Posts