Juice in Swahili

Juice definition in English

Juice is the liquid obtained from or present in fruit or vegetables.

Juice in Swahili

Juice in Swahili

Juice in Swahili is called juisi or sharubati.

Juisi is pronounced as: joo-see.

Sharubati is pronounced as: shah-roo-BAH-tee.

Maana ya juisi katika Kiswahili/ Meaning of juisi in Swahili

Juisi ni maji yanayokamuliwa kutoka kwenye matunda au miwa ambayo hayana kileo.

Maana ya sharubati katika Kiswahili/ Meaning of sharubati in Swahili

Sharubati ni kinywaji kinachotengenezwa kwa matunda au maziwa na kutiwa sukari na rangi.

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Juisi ya nanasi huwa na sukari nyingi. (Pineapple juice is high in sugar.)

Nipe glasi ya sharubati. (Give me a glass of juice.)

Related Posts