Freedom in Swahili

Freedom definition in English

Freedom is the power or right to act, speak, or think as one wants.

Freedom in Swahili

Freedom in Swahili is called uhuru.

Uhuru is pronounced as: oo-HOO-roo.

Some other words related to freedom in Swahili include:

  • Hiari
  • Chaguo
  • Haki

Maana ya uhuru katika Kiswahili/ Meaning of uhuru in Swahili

1. hali ya kufanya jambo bila ya kuingiliwa na mtu au kuomba ruhusa lakini kwa kufuata sheria na kanuni zilizohusika.

2. hali ya kuishi bila kutawaliwa na mtu au nchi nyingine.

3. haki fulani za kijamii, kisiasa na kiuchumi kwa mfano haki ya kupiga kura au haki.

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Tunapigania uhuru wetu. (We are fighting for our freedom.)

Uhuru wa kusema ni muhimu. (Freedom of speech is important.)

Related Posts