Queen in Swahili

Queen definition in English

Queen is the female ruler of an independent state, especially one who inherits the position by right of birth.

Queen in Swahili

Queen in Swahili is malkia.

Malkia is pronounced as: mahl-KEE-ah.

Maana ya malkia katika Kiswahili/ Meaning of malikia in Swahili

Malkia ni mtawala wa kike anayetokana na ukoo wa kifalme, mke wa mfalme.

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Alitawazwa malkia wakati baba yake alikufa. (She was crowned queen when her father died.)

Alisisitiza kwamba binti mfalme atatawazwa na malkia.( He insisted that the princess would be crowned by the queen.)

Related Posts