Family in Swahili (English to Swahili Translation)

Family definition in English

A group of one or more parents and their children living together as a unit.

All the descendants of a common ancestor.

Family in Swahili

Family in Swahili is translated as: familia.

Familia is pronounced as: fah-mee-LEE-ah.

Maana ya familia katika Kiswahili/ Familia meaning in Swahili

Jamaa ya watu wanaishi pamoja yenye baba, mama na Watoto. (A group of people living together with father, mother and children.)

Mume, mke, Watoto, jamaa wa ukoo au nasaba. (Husband, wife, Children, relatives of same lineage.)

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Familia yao inaishi katika nyumba kubwa. (Their family lives in a big house.)

Nataka kutembelea familia yangu kijijini. (I want to visit my family in the village.)

Synonyms for family in Swahili/ Visawe vya familia

Other words related to family in Swahili are:

  • Aila
  • Ali
  • Ndugu
  • Ukoo
  • Ayali
  • Nasaba
  • Jamaa
Related Posts