Maana ya neno adaa
(Nomino katika ngeli ya [i-/zi-]), ulazima unaompasa mtu kuutenda kwa mujibu wa kanuni za dini k.m. kuswali, kufunga na kutoa zaka.
Adaa Katika Kiingereza (English translation)
Adaa katika Kiingereza ni: Prayer, fast.
Kupendwa ni kitu kizuri sana. Kuwa na mwanamke anayekupenda ni ajabu. Aina bora ya uhusiano…
Maana ya neno amu Matamshi: /amu/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: ndugu wa baba.…
Maana ya neno amsha Matamshi: /amsha/ (Kitenzi elekezi) Maana: 1. fanya mtu ashtuke na kufumbua…
Maana ya neno amriwa Matamshi: /amriwa/ (Kitenzi si elekezi) 1. shurutishwa 2. tendewa uamuzi. Amriwa…