Picha za Mbosso

Posted by:

|

On:

|

,

Mbwana Yusuf Kilungi, anayefahamika zaidi kwa jina la kisanii la Mbosso Khan, ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Tanzania mzaliwa wa Kibiti mkoani Pwani. Hapa kuna baadhi ya picha za Mbosso:

Picha za Mbosso

Hizi ni album za Mbosso:

Jina la albumMwaka wa kutolewa
Sina nyota2020
Haijakaa Sawa2020
Nimekuzoea2018
Hodari2018
Tamba2019
Nadekezwa2018
Tamu2018
Nipepee2018
Picha Yake2018
Shilingi2019
Maajab2019
Watakubali2018
Album za Mbosso

Hizi ni baadhi ya picha za Mbosso kutoka Instagram.

https://www.instagram.com/p/CnB189_teyQ/?img_index=1
https://www.instagram.com/p/CmyiW_rtMax/?img_index=1

Mbosso anafahamika kwa nyimbo zake “Nadekezwa” na “Hodari” ambazo zilishinda tuzo kwenye HiPipo Awards 2019.

Nadekezwa lyrics:

Hohohoo hohoo hoho
Hohohoo hohoo hoho
Hohohoo hohoo hoho
Hohohoo hohoo hoho
Salamu ulizo nitumia ah
Zimenifikia ah
Nipo salama hata usijali
Nalishwa vitamu
Vinono najilia ah
Biliyani yangamia
Penzi twadalikana poo kidali
Nimekusahau
Nakumbuka tu lako jina
Kidogo angalu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau ah
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina
Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia
(Hukumeza ukaatema)
Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
(Hukumeza ukaatema)
Eeeheeehee
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…
Ndanimashamu shama mtoto kanikabiri ooh
Hadi na come come kuminambili arufajiri
Na nishamvesha nyota cheo chake kikubwa cha mapenzi
Kanijaza kanichota kanishika pabayaa
Nakutadharisha simu zausiku punguza
Unahatarisha penzi langu moto kuunguza
Nishakusahau nakumbuka tuu lako jina
Kidogo angaluu
Umengoa mizizi sio kukatashina
Penzi wakapanda dau anh
Mjini baba pesa fitina
Mimi ukanidharau
Visenti haba mfuko umechina
Nando uwezo wangu ulipo ishia
Ningekupa nini tena
Kula yangu yakupapasia {hukumweza ukaatema}
Mimi sina gali
Ningekupa nini tena (ooohoohoo)
{Hukumweza ukaatema}eeeheeehee
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… nadekezwa
Nadeke… Nadeke…

Comments are closed.