Mhariri Forum

Ali Mukwhana: Pamoj…
 
Notifications
Clear all

Ali Mukwhana: Pamoja na wewe lyrics


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

1.Bwana u sehemu yangu,

Rafiki yangu, wewe,

Katika safari yangu,

Tatembea na wewe.

Pamoja na wewe,

Pamoja na wewe,

Katika safari yangu,

Tatembea na wewe.

2.Mali hapa sikutaka,

Ili niheshimiwe,

Na yanikute mashaka,

Sawasawa na wewe.

Pamoja na wewe,

Pamoja na wewe,

Heri nikute mashaka,

Sawasawa na wewe.

3.Niongoze safarini,

Mbele unichukue,

Mlangoni mwa mbinguni,

Niingie na wewe.

Pamoja na wewe,

Pamoja na wewe,

Mlangoni mwa mbinguni,

Niingie na wewe.

https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/pamoja-na-wewe-lyrics/


   
Quote