Mhariri Forum

Haufananishwi na KI…
 
Notifications
Clear all

Haufananishwi na KItu Kingine Lyrics By Boaz Danken.


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

Wewe ni Mungu, mpasua bahari

Haufananishwi na kitu kingine

Haufananishwi na kitu kingine.

Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi

Haufananishwi na kitu kingine

Haufananishwi na kitu kingine

(rudia toka juu)

Unafanya mambo ambayo

Mwanadamu hawezi kufanya

Unatoa faraja ambayo

Mwanadamu hawezi toa

(rudia)

Haufananishwi na kitu kingine

Haufananishwi na kitu kingine.

Si mwepesi wa hasira

Unaghairi mabaya

Haufananishwi na kitu kingine

Haufananishwi na kitu kingine.

Mungu mwenye wivu

Unatunza maagano

Haufananishwi na kitu kingine

Haufananishwi na kitu kingine.

Katikati ya dhahabu

Unakumbuka rehema

Haufananishwi na kitu kingine

Haufananishwi na kitu kingine.

Unafanya mambo ambayo

Mwanadamu hawezi kufanya

Unatoa faraja ambayo

Mwanadamu hawezi kutoa

(rudia x4)

Haufananishwi na kitu kingine

Haufananishwi na kitu kingine.

https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/haufananishwi-na-kitu-kingine-lyrics/


   
Quote