Mhariri Forum

Mkono wa bwana lyri…
 
Notifications
Clear all

Mkono wa bwana lyrics by Zabron Choir


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

Tumeuna, mkono wako Bwana

Matendo yako Bwana ni makuu mno

Umetutoa mbali, ukatushika mkono

Mahali uliona pekee hatuwezi

Chini hata juu, watu unawainua

Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako, milele tutakusifu

Daima we umwema tutaishi kwako

Tumeuna, mkono wako Bwana

Matendo yako Bwana ni makuu mno

Umetutoa mbali, ukatushika mkono

Mahali uliona pekee hatuwezi

Chini hata juu, watu unawainua

Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako, milele tutakusifu

Daima we umwema tutaishi kwako

Mengi mazuri tumeyaona, Mungu umetenda

Ni kweli we muweza

Ulitamka vitu vikawa

Neno tu latosha

Ukisema umetenda

Bahari shamu Isiraeli

Ah uliwavusha

Kawatoa utumwani

Watumishi wako umewapa

Yote waombayo

Ikiwa umependezwa

Uamulo hakuna wa kulipinga

Hakika we ni Mungu, wa vyote

Unatawala dunia na vilivyomo

Makuu umeyatenda, Jehova

[CHORUS]

Tumeuna, mkono wako Bwana

Matendo yako Bwana ni makuu mno

Umetutoa mbali, ukatushika mkono

Mahali uliona pekee hatuwezi

Chini hata juu, watu unawainua

Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako, milele tutakusifu

Daima we umwema tutaishi kwako

Tumeuna, mkono wako Bwana

Matendo yako Bwana ni makuu mno

Umetutoa mbali, ukatushika mkono

Mahali uliona pekee hatuwezi

Chini hata juu, watu unawainua

Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako, milele tutakusifu

Daima we umwema tutaishi kwako

Ona, ona , ona, ona ?

Msalabani ulitufia, hm ulitupenda

Dhambi zetu ukabeba

Baraka zako tuliziomba kweli tumeona

Hakika unabariki

Hata vipaji we ndo hutoa umetuwezesha Tunaimba na kusifu

Walio haki hutowaacha, uliwaahidi

Hata mwisho wa dahari

Hm watu wako umewapa mamlaka

kwa jina lako Yesu

Waponye

Na huna ubaguzi Wote ni sawa kwako

Umetuita Yesu, tupone

[CHORUS]

Tumeuna, mkono wako Bwana

Matendo yako Bwana ni makuu mno

Umetutoa mbali, ukatushika mkono

Mahali uliona pekee hatuwezi

Chini hata juu, watu unawainua

Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako, milele tutakusifu

Daima we umwema tutaishi kwako

Tumeuna, mkono wako Bwana

Matendo yako Bwana ni makuu mno

Umetutoa mbali, ukatushika mkono

Mahali uliona pekee hatuwezi

Chini hata juu, watu unawainua

Sifa na utukufu ni zako milele

Twasifu jina lako, milele tutakusifu

Daima we umwema tutaishi kwako

Ona, ona, ona, ona?

Daima we umwema tutaishi kwako

Ona, ona, ona, ona?

Daima we umwema tutaishi kwako

Ona, ona, ona, ona?

Daima we umwema tutaishi kwako

https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/mkono-wa-bwana-lyrics/


   
Quote