Mhariri Forum

Ni tabibu wa karibu…
 
Notifications
Clear all

Ni tabibu wa karibu lyrics by Angela Chibalonza


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

AYA YA 1:

Nitabibu wa karibu

tabibu wa ajabu

na nehema na daima

ni dawa yake njema

hatufai kuwa hai

wala hatatumai ila yeye kweli ndiye

atupumzishaye

CHORUS LYRICS:

Imbeni malaika sifa

za Yesu Bwana

Pweke limetukuka Jina lake Yesu

AYA YA 2:

Dhambi pia na hatia ametuchukulia

twenendeni na amani

hata kwake mbinguni

uliona tamu jina la Yesu Kristo Bwana

Yuna sifa mwenye kufa hasishindwe na kufa

CHORUS LYRICS:

Imbeni malaika sifa

za Yesu Bwana

Pweke limetukuka (limetukuka) Jina lake Yesu

AYA YA 3:

Kila mume asimame

sifa zake zivume

wanawake na washike

kusifu jina lake

CHORUS LYRICS:

Imbeni malaika (sifa) sifa

za Yesu Bwana (ooh pweke)

Pweke limetukuka (limetukuka) Jina lake Yesu


   
Quote