Mhariri Forum

Nitaingia Lango Lak…
 
Notifications
Clear all

Nitaingia Lango Lake Lyrics


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

Wakati nitajikuta, mbinguni kwa baba,

Nitajua ya ulimwengu nimeshayaacha,

Halleluya nitasifu, kufika mbinguni,

Hossana nitaingia kwa shangwe

Nitaingia lango lake na sifa moyoni,

Nitaingia kwa shangwe kuu,

Nitasema ni siku njema bwana ameifanya,

Nitafurahi kufika mbinguni

Nchi nzuri nchi safi, kwa baba yangu,

Kuna amani kuna furaha, uko ni kusifu,

Tutakaa na mungu wetu, nchi ya amani,

Hossana nitaingia kwa shangwe,

Nitaingia lango lake na sifa moyoni,

Nitaingia kwa shangwe kuu,

Nitasema ni siku njema bwana ameifanya,

Nitafurahi kufika mbinguni

Nitawaona watakatifu, manabii wote

Hata mitume nchi hiyo, nitawaona,

Tutakula meza moja, nchi ya amani,

Hossana nitaingia kwa shangwe

Nitaingia lango lake na sifa moyoni,

Nitaingia kwa shangwe kuu,

Nitasema ni siku njema bwana ameifanya,

Nitafurahi kufika mbinguni

https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/nitaingia-lango-lake-na-sifa-moyoni-lyrics/


   
Quote