Mhariri Forum

Fathermoh: Niko na …
 
Notifications
Clear all

Fathermoh: Niko na pesa kushinda babako lyrics


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

[Intro]

Man base

Aha

( Ssaru ) aha

(Murder)

(Black market records)

[Pre-Chorus: Fathermoh]

Ati, chemi chemi za uongo

Story za jaba ndio utingize ubongo

Ndio ubebe, ka wallat za kamongo

Bari-bari-barabara bana maringo (‘Ringo)

[Chorus: Fathermoh & Ssaru ]

Niko na pesa kushinda babako (Kaskie vibaya huko

kwenu, kaskie vibaya huko kwenu, kaskie vibaya

huko kwenu)

Uh, Niko na pesa na ni za babako (Kaskie vibaya

huko kwenu, kaskie vibaya huko kwenu, kaskie vibaya

huko kwenu)

[Verse 1: Ssaru & FatherMoh ]

Uh

Nilifika jiji nkakutana na budako

Akaniambia ka ni vako hapendangi za mamako

Kisiri siri tukakutana kwako

Ni click, click bang tu juu ya kitanda chako

Uh, hamna

Hela ni nyi mnateseka

Nini unalipa madeni na pochi yako?

Miaka ni ishirini huko chini sitini na

Mneti unatuvunjia mgongo

Ulinipa kachance na nikapita nako

Uliponipiga intro siku ya introduction

Anani-finance na school fees zako

Alinipeanga info kwanza ye si babako

Unapenda wababa huonei watoto wako huruma?

One shot, na kwani hupendi utamu wa nduma

Pesa hukutekenya-tekenya sana, we’ rudi ukakune

wababa wa Duruma

[Chorus: Fathermoh & Ssaru ]

Niko na pesa kushinda babako (Kaskie vibaya huko

kwenu, kaskie vibaya huko kwenu, kaskie vibaya

huko kwenu)

Uh, Niko na pesa na ni za babako (Kaskie vibaya

huko kwenu, kaskie vibaya huko kwenu, kaskie vibaya

huko kwenu)

[Verse 2: Ssaru & Fathermoh ]

Najua unaskia vibaya

Mi vibaya?

Eeh vibaya

Nenda zako

Si naenda kwenu

Kwetu wapi?

Kwa babako

Mi si kutusi lakini kudadadeki

Sikudharau lakini we hudunga ndula feki

Uso marangi uko sure hauniseti?

Cake n’ bake! Ni quality za Fenty

Ati, chemi, chemi za uongo

Story za jaba ndio utingize ubongo

Ndio ubebe, ka wallati za kamongo

Bari-bari-barabara bana maringo (‘Ringo)

[Chorus: Fathermoh & Ssaru ]

Niko na pesa kushinda babako (Kaskie vibaya huko

kwenu, kaskie vibaya huko kwenu, kaskie vibaya

huko kwenu)

Uh, Niko na pesa na ni za babako (Kaskie vibaya

huko kwenu, kaskie vibaya huko kwenu

https://mhariri.com/song-lyrics/bongo-lyrics/niko-na-pesa-kushinda-babako-lyrics/


   
Quote