Mhariri Forum

Iyanii: Furaha kule…
 
Notifications
Clear all

Iyanii: Furaha kulewa na marafiki lyrics


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

Kwa sherehe tumefika

Sherehe tumefika

Kwa sherehe tumefika

Sherehe tumefika

Familia iko ndani, ndani

Wote tunajibamba

Marafiki majirani, rani

Wote tunajibamba

I am happy today, so happy

I am happy today, so happy

Ju sisi ni walevi, sisi ni walevi

Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso

Sisi ni walevi, sisi ni walevi

Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

Pem-peremre (Iyanii)

Pem-pem-pem-peremren (Iyanii)

Pem-peremre (Iyanii)

Pem-pem-pem-peremren (Iyanii)

Comrades power (Power)

Comrades power (Power)

Niruhusu leo niwaite makondoo (Aii)

Skiza, ship yaani kondoo is for friend (Ship)

For better for worse yaani through hard (Ship)

Na kuanzia leo that’s our relation (Ship)

Ship power (Power)

Ship power (Power)

I am happy today, so happy

I am happy today, so happy

Ju sisi ni walevi, sisi ni walevi

Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso

Sisi ni walevi, sisi ni walevi

Tunapenda kamnyweso, tunapenda kamnyweso

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

Aiiii-ih

Mnanibamba mbaya, ah wote

Tiki (Taka) Tiki (Taka) Tiki (Taka)

Tiki (Taka) Tiki (Taka) Tiki (Taka)

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

Furaha, ni kuwa na marafiki

Furaha, ni kulewa na marafiki

https://mhariri.com/song-lyrics/bongo-lyrics/furaha-kulewa-na-marafiki-lyrics/


   
Quote