Boat in Swahili

Boat definition in English

Boat is a small vessel for travelling over water, propelled by oars, sails, or an engine.

boat in Swahili

Boat in Swahili

Boat in Swahili is mashua or boti.

Boti is pronounced as: BOH-tee.

Mashua is pronounced as:  mah-SHWAH.

Maana ya boti/mashua katika Kiswahili/ Meaning of boti/mashua in Swahili

Boti au mashua ni chombo kidogo cha majini kinachoendeshwa aghalabu kwa injini kinachotumika kwa kusafiria, watu au mizigo.

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Walinzi wa Pwani wamezindua mashua mpya. (Coast guard have launched a new boat.)

Afadhali turudi kwenye boti. (We’d better get back to the boat.)

Mashua inasafiri saa sita. (The boat sails at six o’clock.)

Related Posts