Elephant in Swahili (English to Swahili Translation)

Elephant definition in English

A very large plant-eating mammal with a prehensile trunk, long curved ivory tusks, and large ears, native to Africa and southern Asia. It is the largest living land animal.

Tembo au ndovu: Elephant in Swahili

Elephant in Swahili

Elephant in Swahili is translated as:

1. Ndovu

Pronounced: ndoh-voo.

2. Tembo:

Pronounced: tem-boh.

Maana ya ndovu katika Kiswahili/ Ndovu meaning in Swahili

Mnyama wa porini aliye mkubwa sana mwenye masikio makubwa na mapana, mkonga ambao huutumia kukata majani ya kula, kuchota maji na pembe mbili ambazo zina thamani kubwa na mara nyingi huwindwa na majangili kwa sababu ya pembe zake.

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Tembo alivunja tawi la mti kwa mkonga wake. (The elephant broke a tree branch with its trunk).

Ndovu ni wanyama wa ajabu sana. (Elephants are amazing animals.)

Related Posts