Kilimi - uvula

Kilimi in English

Maana ya kilimi katika Kiswahili

Kilimi ni kipande cha nyama kinachoning’inia nyuma ya ulimi.

Kilimi pia ni kitu kinachochomekwa kwenye nzumari ili kuifanya itoe mlio inapopulizwa.

Visawe vya ulimi ni:

  • Kideakatonge
  • Kimio
  • Mtapa
  • Nari

Kilimi in English

1. Uvula: Hii ndiyo maana ya kawaida zaidi ya kilimi in English. Ufafanuzi wa uvula in English is:

“Your uvula is the little fleshy hanging ball in the back of your throat.”

2. Flute reed: Maana ingine ya kilimi in English nu hii. Ufafanuzi wake in English ni:

“A flute reed is a thin, flexible piece of wood or metal that is inserted into the mouthpiece of a flute. It vibrates when the player blows into the flute, creating the sound.”

Uvula in Kiswahili

Uvula in Kiswahili is called kilimi.

Related Posts