Posted by:
Brennon Nakisha
|
On:
Ajuza ni mtu wa jinsia ya kike aliyezeeka sana.
Visawe vya ajuza ni: bikizee, bibi kizee, bibi kikongwe.
Kinyume cha ajuza ni buda au shaibu
Buda ni mwanaume aliyezeeka.
Shaibu ni mwanaume mzee pia.