Maagano: Salamu za kwaheri – Goodbye in Swahili

Maagano ya Kiswahili ni maneno ya kuagana, ambayo ni vielelezo vinavyotumiwa kutambua kutengana kwa watu binafsi au vikundi vya watu kutoka kwa kila mmoja, ni vipengele vya mila za kutengana.

Maagano ya Kiswahili

Buriani? – “Buriani dawa”.

Hii salamu ina ya  maana ya “kwaheri” au “aheri”  na inatumika wakati wa kupiga kwaheri. 

(This greeting means “goodbye” and is used when saying farewell or goodbye.)

Kwaheri ya kuonana – “Kwaheri ya kuonana”.

Salamu ya wakati wowote, hutumiwa wakati watu wanaagana kwa muda mfupi.

(Any time greeting, used when people say goodbye for a short time.)

Tuonane tena – “Inshallah” au “Mungu akipenda”.

Salamu ya wakati wowote, hutumiwa wakati watu wanaagana kwa muda mfupi.

(Any time greeting, used when people say goodbye for a short time.)

Tuonane kesho? – “Majaliwa”.

Salamu ya kuangana hadi kesho.

(Goodbye until tomorrow.)

Related Posts