Panga in English

Maana ya panga katika Kiswahili

Neno panga katika Kiswahili lina maana kadhaa:

1. Panga ni kuweka vitu kwa utaratibu mzuri.

Mfano: Baraka alipanga nguo zake ndani ya sanduku.

2. Panga ni kukaa kwa makubaliano katika nyumba au chumba cha kukodi.

Mfano: Juma amepanga kwa ile ghorofa.

3. Panga ni kufanya uhusiano fulani kwa mapatano.

Mfano: Panga urafiki, panga udugu.

4.  Panga ni kukaa kinyumba, kaa ukiwa hawara.

5. Panga ni jisu kubwa.

Mfano: Mkulima alitumia panga kukata mti.

Panga in English

Hapa ni tafsiri ya panga in English kulingana na kila maana ya neno panga:

1. Panga ni kuweka vitu kwa utaratibu mzuri. – Panga hii in English itakuwa arrange. Ufafanuzi wake in English ni:

“Arrange is to put (things) in a neat, attractive, or required order.”

Majina mengine panga in English katika maana hii ni:

  • put in order
  • order
  • set out
  • lay out
  • spread out
  • array
  • present
  • put out
  • display
  • exhibit
  • group
  • sort
  • organize
  • tidy
  • position
  • dispose
  • marshal
  • range
  • align
  • line up
  • rank
  • file
  • classify
  • categorize
  • systematize
  • methodize

2. Panga ni kukaa kwa makubaliano katika nyumba au chumba cha kukodi. – Panga hii in English itakuwa rent a house. Ufafanuzi wake in:

“let or hire a house at a specified rate.”

3. Panga ni kufanya uhusiano fulani kwa mapatano. Panga hii in English itakuwa plan a relationship. (Pia ni maana sawa na kupanga ya kukaa kinyumba, kaa ukiwa hawara.)

4. Panga ni jisu kubwa. Panga hii in English itakuwa:

  • Long knife – “It refers to a large, heavy knife with a long, straight blade, typically used for cutting wood, clearing brush, or as a weapon.”
  • Machete – “a broad, heavy knife used as an implement or weapon, originating in Central America and the Caribbean.”
  • Sword – “a weapon with a long metal blade and a hilt with a hand guard, used for thrusting or striking and now typically worn as part of ceremonial dress.”
Related Posts