Ruler in Swahili

Ruler definition in English

The common meaning of ruler is:

A person exercising government or dominion.

A straight strip or cylinder of plastic, wood, metal, or other rigid material, typically marked at regular intervals and used to draw straight lines or measure distances.

Ruler in Swahili

Ruler in Swahili depends on the context you are referring to:

1. Kiongozi: When you’re referring to a leader, ruler in Swahili is Kiongozi.

Kiongozi is pronounced as: kee-oh-NGO-zee.

2. Rula: When you’re referring to a measuring instrument, ruler in Swahili is rula.

Rula is pronounced as: roo-LAH.

Maana ya kiongozi katika Kiswahili/ Meaning of kiongozi in Swahili

Kiongozi ni mtu mwenye madaraka ya kuelekeza watu wengine.

Maana ya rula katika Kiswahili/ Meaning of rula in Swahili

Rula ni kipande cha ubao au plastiki chenye urefu wa sentimita 30 au futi moja, kinachotumika kupimia urefu au kupigia mstari.

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Yeye ndiye kiongozi. (She is the ruler.)

Tumia rula kupima urefu wa meza. (Use a ruler to measure the length of the table.)

Related Posts