Tiger definition in English
A tiger is a very large solitary cat with a yellow-brown coat striped with black, native to the forests of Asia but becoming increasingly rare.
![Simbamarara- tiger](https://i0.wp.com/mhariri.com/wp-content/uploads/2024/01/tiger-simbamarara.jpeg?resize=600%2C393&ssl=1)
Tiger in Swahili
“Simba marara” is the Swahili word for “tiger”, though less common compared to chui, which is commonly used.
So, the word tiger in Swahili is:
Simba marara
Simba marara pronunciation is: SIM-bah – Mah-RAH-rah
Chui mwenye milia:
Chui is the most common and widely understood Swahili word for “tiger.” It also means “leopard,” but the context usually clarifies which animal is being referred to.
Pronunciation: choo-ee
Maana ya chui katika Kiswahili/ Meaning of chui in Swahili
Chui ni mnyama anayekula nyama ambaye anafanana na paka mkubwa na mwenye kasi sana na hupatikana Asia na Afrika.
Example in sentence/ Mfano katika sentensi
I saw a tiger at the zoo. – Niliona simba marara kwenye zoo.
A Tiger is a very dangerous animals. – Chui mwenye milia ni mnyama hatari sana.