Wingi wa hili

Wingi wa hili

Hili ni kivumishi kionyeshi katika ngeli ya [li-/ya-] umoja kinachoashiria ukaribu wa kinachorejelewa na mzungumzaji.

Mfano: Hili ni tamu. Hili halikufai

Wingi wa hili ni haya. 

Haya ni kionyeshi cha ngeli ya tatu wingi kinachodokeza kuwa vitu vipo karibu na mzungumzaji

Mfano: Haya ni matamu. Haya hayakufai.

Related Posts