Maana ya jina abidi
(Nomino katika ngeli ya [a-/wa]) (ush)mlimwengu, mja wa Mwenyezi Mungu.
Kisawe ni abdi.
Abidi Katika Kiingereza (English translation)
Abidi katika Kiingereza ni: Worshipper, servant of God.
Maana ya neno amu Matamshi: /amu/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: ndugu wa baba.…
Maana ya neno amsha Matamshi: /amsha/ (Kitenzi elekezi) Maana: 1. fanya mtu ashtuke na kufumbua…
Maana ya neno amriwa Matamshi: /amriwa/ (Kitenzi si elekezi) 1. shurutishwa 2. tendewa uamuzi. Amriwa…
Maana ya neno amrisho Matamshi: /amrifɔ̃/ Wingi wa amrisho ni maamrisho. (Nomino katika ngeli ya…