Maana ya neno adesi na English translation

Maana ya neno adesi

(Nomino, ngeli ya [i-/zi-]), nafaka ya jamii ya kunde yenye rangi ya manjano. Kisawe chake ni dengu

(Methali) Amnyimaye punda adesi kamwepushia mashuzi.

Adesi Katika Kiingereza (English translation)

Adesi katika Kiingereza ni: Lentil.

Related Posts