Maana ya neno adha na English translation

Maana ya neno adha

(Nomino, ngeli ya [i-/zi-]), jambo linaloleta usumbufu. Visawe vyake ni: Kero, taabu, udhia.

Adha Katika Kiingereza (English translation)

Adha katika Kiingereza ni: Trouble, inconvenience, nuisance.

Related Posts