Maana ya neno adhinia
Matamshi: /aðinia/
(Kitenzi si elekezi)
Maana: fanyia adhana mtoto wa Kiisalamu anapozaliwa.
Adhinia Katika Kiingereza (English translation)
Adhinia katika Kiingereza ni: make a Muslim special prayer.
Kupendwa ni kitu kizuri sana. Kuwa na mwanamke anayekupenda ni ajabu. Aina bora ya uhusiano…
Maana ya neno amu Matamshi: /amu/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: ndugu wa baba.…
Maana ya neno amsha Matamshi: /amsha/ (Kitenzi elekezi) Maana: 1. fanya mtu ashtuke na kufumbua…
Maana ya neno amriwa Matamshi: /amriwa/ (Kitenzi si elekezi) 1. shurutishwa 2. tendewa uamuzi. Amriwa…