Maana ya neno afiki na English translation

Maana ya neno afiki

Matamshi: /afiki/

(Kitenzi elekezi) pia wafiki

Maana:

1. kubalia wazo, hoja au fikra fulani.

Mfano: Mwalimu mkuu bado hajaafiki ombi la wazazi.

2. patana au elewana na mtu.

3. kufikia msawazisho, mlingano au usawa katika hoja, fikra au wazo fulani.

Mnyambuliko wa afiki ni: → afikia, afikiana, afikika, afikisha, afikiwa.

Afiki Katika Kiingereza (English translation)

Afiki katika Kiingereza ni: to agree, to concur.

Related Posts