Maana ya neno agiza na English translation

Maana ya neno agiza

Matamshi: /agiza/

(Kitenzi elekezi)

Maana:

1. amuru mtu kufanya jambo.

2. omba, taka au shawishi mtu akuletee kitu kutoka mahali fulani.

Mfano: Makhulo aliagiza bidhaa nyingi dukani.

Mnyambuliko wake ni: agizana, agizia, agiziana, agizika, agizwa.

Agiza Katika Kiingereza (English translation)

Agiza katika Kiingereza ni: to order, to command.

Related Posts