Maana ya neno agronomia
Matamshi: /agronomia/
Maana: taaluma ya ukulima wa mimea na mazingira.
Mfano: (Ndoto ya kaka yangu ni kuwa mtaalamu wa Agronomia.)
Agronomia Katika (Kiingereza English translation)
Agronomia katika Kiingereza ni: Agronomy.
Kupendwa ni kitu kizuri sana. Kuwa na mwanamke anayekupenda ni ajabu. Aina bora ya uhusiano…
Maana ya neno amu Matamshi: /amu/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: ndugu wa baba.…
Maana ya neno amsha Matamshi: /amsha/ (Kitenzi elekezi) Maana: 1. fanya mtu ashtuke na kufumbua…
Maana ya neno amriwa Matamshi: /amriwa/ (Kitenzi si elekezi) 1. shurutishwa 2. tendewa uamuzi. Amriwa…