Maana ya neno alamu na English translation

Maana ya neno alamu

Matamshi: /alamu/

Alamu 1

(Nomino katika ngeli ya [i-zi])

Maana: ishara inayomtahadhrisha au kumuonya mtu ajikinge na hatari fulani.

Alamu 2

(Nomino katika ngeli ya [i-zi])

Maana: kifaa kinachotoa sauti ya kutahadharisha watu.

Alamu Katika Kiingereza (English translation)

Alamu katika Kiingereza inategemea na maana unayokusudia :

  • Alamu (ishara inayomtahadhrisha mtu) ni: warning sign.
  • Alamu (kifaa kinachotoa sauti ya kutahadharisha watu) ni: Alarm.
Related Posts