Maana ya neno alasauti na English translation

Maana ya neno alasauti

Matamshi: /alasauti/

(Nomino katika ngeli ya [i-zi])

Maana: istilahi katika taaluma za isimu hasa fonetiki na fonolojia inayorejelea sehemu za mwili kama vile ulimi, meno, ufizi, kaakaa gumu, n.k zinazotumika katika utamkaji wa sauti za lugha.

Alasauti Katika Kiingereza (English translation)

Alasauti katika Kiingereza ni: articulatory phonetics.

Related Posts