Maana ya neno amiba
Matamshi/amiba/
(Nomino katika ngeli ya [a-wa])
Maana: vidudu vidogo vilivyo hai vyenye seli moja na umbo lao hubadilika wakati wote.
Amiba Katika Kiingereza (English translation)
Amiba katika Kiingereza ni: Amoeba.
Maana ya neno amu Matamshi: /amu/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: ndugu wa baba.…
Maana ya neno amsha Matamshi: /amsha/ (Kitenzi elekezi) Maana: 1. fanya mtu ashtuke na kufumbua…
Maana ya neno amriwa Matamshi: /amriwa/ (Kitenzi si elekezi) 1. shurutishwa 2. tendewa uamuzi. Amriwa…
Maana ya neno amrisho Matamshi: /amrifɔ̃/ Wingi wa amrisho ni maamrisho. (Nomino katika ngeli ya…