Maana ya neno amonia
Matamshi: /amɔnia/
(Nomino katika ngeli ya [i-i])
Maana: kiowevu cha harufu kali kitumikacho kutengeneza mbolea au baruti.
Amonia Katika Kiingereza (English translation)
Amonia katika Kiingereza ni: ammonia.
Maana ya neno amu Matamshi: /amu/ (Nomino katika ngeli ya [a-wa]) Maana: ndugu wa baba.…
Maana ya neno amsha Matamshi: /amsha/ (Kitenzi elekezi) Maana: 1. fanya mtu ashtuke na kufumbua…
Maana ya neno amriwa Matamshi: /amriwa/ (Kitenzi si elekezi) 1. shurutishwa 2. tendewa uamuzi. Amriwa…
Maana ya neno amrisho Matamshi: /amrifɔ̃/ Wingi wa amrisho ni maamrisho. (Nomino katika ngeli ya…