Baraka zako ziwe na mimi lyrics

UNIONGOZE LYRICS – Ephraim Sekeleti

Baraka zako ziwe na mimi lyrics

Uniongoze na huruma zako

Usipo nibariki siwezi enda

Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda

Minajuwa bila nguvu zako siwezi kwenda

Kwa mkono wako kweli umenibariki ii

Kwa mkono wako kweli umenibariki

Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda

Kwa mkono wako kweli umenibariki ii

Kwa mkkono wako kweli umenibariki

Baraka zako ziwe na mimi,

Mapenzi yako yawe na mimi,

Namacho yako yawe na mimi

Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki

Ulinichagua kabla sijazaliwa

Ukanichagua nabii wa mataifa yo

Utaninitangulia siatogopa Chochote

Ulinichagua kabla sijazaliwa

Ukanichagua nabii wa mataifa yo

Utaninitangulia siatogopa Chochote

Baraka zako ziwe na mimi,

Mapenzi yako yawe na mimi,

Namacho yako yawe na mimi

Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki

Baraka zako ziwe na mimi,

Mapenzi yako yawe na mimi,

Namacho yako yawe na mimi

Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki

Tembea nami ee bwana

Tembea nami baba yoo

Related Posts