Fanuel Sedekia – Ni Neema Ya Mkombozi Lyrics Na Mafunzo

Hapa utapata ni neema ya mkombozi lyrics by Fanuel Sedekia. Mwishoni utapata jumbe muhimu kutoka kwa huu wimbo na vifungu vya biblia vinavyohusiana na huu wimbo.

Ni Neema Ya Mkombozi Lyrics

Ni neema ya mkombozi

Ni neema sikustahili

Ni neema ya mkombozi

Nineema sikustahili

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Ukuhani wa kifalme

Uzaao mteule

Mtu wa milki ya mungu

Nimefanyika kuwa mwana

Ukuhani wa kifalme

Uzaao mteule

Mtu wa milki ya mungu

Nimefanyika kuwa mwana

Kwa kazi ya msalaba

Yakale yoteyamepita

Tazama yamekuwa mapya

Nimefanyika kuwa mwana

Kwa kazi ya msalaba

Yakale yoteyamepita

Tazama yamekuwa mapya

Nimefanyika kuwa mwana

Ni neema ya mkombozi

Ni neema sikustahili

Ni neema ya mkombozi

Nineema sikustahili

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Nimefanyika kuwa mwana

Na nimeesabiwa haki

Vifungo vya biblia kutokana na Ni Neema Ya Mkombozi

Warumi 5:1: Basi, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo.

Warumi 8:30: Na wale ambao Mungu aliwateua tangu awali pia aliwaita; na wale aliowaita pia aliwahesabia haki; na wale aliowahesabia haki aliwapa utukufu wake.

1 Yohana 3:1-2: Tazameni jinsi Baba alivyotupenda mno, hata tukaitwa watoto wa Mungu! Na hivyo ndivyo tulivyo. Watu wa ulimwengu hawatutambui kwa sababu hawakumjua Mungu. 2 Wapendwa, sisi sasa tu wana wa Mungu. Tutakavyokuwa baadaye haijulikani bado, lakini tunajua kwamba Kristo atakapotokea, tutafanana naye, kwa maana tutamwona kama alivyo.

Ujumbe muhimu kutoka Ni Neema Ya Mkombozi

Umuhimu wa neema:

“Ni neema ya mkombozi” (It is the grace of the redeemer)

“Ni neema sikustahili” (It is grace, I did not deserve it)

Uhakikisho wa wokovu:

“Nimefanyika kuwa mwana” (I have become a child)

“Na nimeesabiwa haki” (And I have been declared righteous)

Maisha mapya katika Kristo:

“Ukuhani wa kifalme” (A royal priesthood)

“Uzaao mteule” (A chosen generation)

“Mtu wa milki ya mungu” (A people for God’s own possession)

“Kwa kazi ya msalaba” (Through the work of the cross)

“Yakale yoteyamepita” (The old has passed away)

“Tazama yamekuwa mapya” (Behold, all things have become new)

Related Posts