Mhariri Forum

Bwana Ni Mchungaji …
 
Notifications
Clear all

Bwana Ni Mchungaji Wangu by Reuben Kigame


(@kwamboka)
Trusted Member
Joined: 3 months ago
Posts: 31
Topic starter  

Bwana ni mchungaji wangu, sitapungukiwa kitu.

Hulaza kwenye majani mabichi, hunongoza kwa maji tulivu.

Hunihuisha nafsi yangu, hunioongoza kwa njia za haki.

Nipitapo bondeni mwa mauti, sitaogopa wewe u nami.

Siku zote za maisha yangu.

Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.

Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.

Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.

Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.

Gongo lako na fimbo yako vinanifiariji mimi.

Huandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu.

Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.

Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.

Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.

Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.

Hakika wema na fadhili zitanifuata mimi.

Nitakaa nyumbani mwa bwana, siku zote za maisha yangu.

https://mhariri.com/song-lyrics/gospel-lyrics/bwana-ni-mchungaji-wangu-lyrics-na-ujumbe-muhimu/


   
Quote