Notifications
Clear all

Maana ya neno ama


(@brennonnaki)
Joined: 9 months ago
Posts: 180
Topic starter  

Ama 1

Maana:

1. neno lenye kutumiwa katika chaguo la moja kati ya mambo mawili au vitu viwili.

2. tamshi la kuchochea mtu achangamkie hoja fulani.

Ama! 2

Maana: tamko linalofichua hisia ya kushangaa.

Ama! 3

Maana: ambata.

Ama 4

Maana: juzuu ya mwanzo katika dini ya Kiislamu ambayo huisoma mtoto punde anapoanza madarasa.

Ama 5

Maana: juzuu ya mwisho katika Kurani.

https://mhariri.com/kamusi/maana-ya-maneno/maana-ya-neno-ama-na-english-translation/


   
Quote