Notifications
Clear all

Imani ni nini katika biblia?

   RSS

0
Topic starter

Maana ya imani katika biblia

3 Answers
0

Imani ni kujiamini katika yale tunayotumainia na kuwa na uhakika juu ya yale tusiyoyaona.

Waebrania 11:1 “Basi, imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni uhakika wa mambo tusiyoyaona.”

0

Imani inatia ndani kutumaini ahadi za Mungu hata hali zinapokuwa ngumu.

“Tuzingatie kabisa tumaini letu tunalokiri, maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu.”-Waebrania 10:23

0

Imani inaonyeshwa kwa kutii amri za Mungu.

Waebrania 11:8

Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende katika nchi ambayo Mungu angempa iwe yake. Ingawa hakujua alikokuwa anakwenda, Abrahamu alihama.