Notifications
Clear all

Ndoa ni nini katika biblia?

   RSS

0
Topic starter

Maana ya ndoa katika biblia

3 Answers
0

Maana: Ndoa ni agano takatifu kati ya mwanamume na mwanamke.
Mstari wa Biblia: “Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe.” – Marko 10:9 

0

Tafakari ya Kristo na Kanisa

Ndoa inaashiria uhusiano kati ya Kristo na Kanisa.

Ephesians 5:25

“Husbands, love your wives, just as Christ loved the church and gave himself up for her.”

0

Ndoa hutoa msingi thabiti wa kulea watoto.

Zaburi 127:3

“Watoto ni riziki kutoka kwa Mwenyezi-Mungu; watoto ni tuzo lake kwetu sisi. Watoto waliozaliwa wazazi wakiwa bado vijana, ni kama mishale mikononi mwa askari.”