Lion in Swahili (English to Swahili Translation)

Lion definition in English

Lion is a large tawny-coloured cat that lives in prides, found in Africa and north-western India. The male has a flowing shaggy mane and takes little part in hunting, which is done cooperatively by the females.

Lion, Simba in Swahili

Lion in Swahili

Lion in Swahili is called simba.

Simba is pronounced as: SIM-ba.

Maana ya simba katika Kiswahili/ Meaning of simba in Swahili

Simba ni mnyama wa jamii ya paka, lakini mkubwa na mwenye rangi ya hudhurugi au majani makavu mwili mzima na alaye nyama. (A lion is an animal of the cat family, but big and with the color of brown or color of dry leaves all over its body and it eats meat.)

Example in a sentence/ Mfano katika sentensi

Simba alifungua mdomo wake mkubwa na kunguruma. (The lion opened its huge mouth and roared.)

Simba ni mfalme wa wanyama. (The lion is the king of the jungle.)

Related Posts