Author: zoeykwamboka
Mistari ya biblia kuhusu mahusiano
Mistari hiii inatoa mwongozo na hekima kuhusu mambo mbalimbali ya mahusiano kama vile: upendo, uaminifu, urafiki, na ndoa, kama inavyoonyeshwa katika Biblia. Read more
Mistari ya biblia kuhusu baraka
Hizi hapa ni mistari ya biblia kuhusu baraka, kukusaidia kupata baraka kutoka kwa Mungu na kuwabariki watu wengine. Read more
Mistari ya toba katika biblia
Toba ni kujisikia huzuni kuhusu dhambi yako na kuamua kubadilika. Wale wanaotubu hukataa dhambi na kutambua kwamba wanamhitaji Yesu ili waokolewe. Hizi hapa ni mistari ya toba katika biblia za kukusaidia kutubu dhambi zako. Read more
Mistari ya biblia kuhusu upendo
Upendo ni kiungo kinachtunganisha sisi kwa sisi na kwa Mungu. Upendo wa kweli ni kumpenda mwenzako na mungu wako. Hizi ni mistari ya biblia kuhusu upendo. Read more
Mistari ya biblia kuhusu msiba na za kutia moyo.
Ikiwa sahii uko na msiba k.v majonzi, kufiwa, shida n.k, hizi ni mistari ya biblia kuhusu msiba za kukutia moyo. Read more
Mistari yenye nguvu na motisha katika biblia
Neno la Mungu lina msukumo wote tunaohitaji ili kuishi maisha yetu ya kila siku kwa ujasiri, furaha na nguvu. Hapa kuna mistari yenye nguvu na motisha katika biblia kuthibitisha hilo: Read more
Mistari ya biblia ya ulinzi na usalama
Hapa tutakupa mistari ya biblia ya ulinzi na usalama yeye itatupa hakikisho kuwa Mungu ako nazi katika kila jambo tufanyalo. Read more
Mistari ya shukrani katika biblia
Katika Makala haya tumekupa mistari kutoka kwa biblia ya kupiga shukrani kwa Mungu kwa mengi ambayo amekutendea. Read more
Maneno na lugha nzuri ya kushukuru na kusema asante
Kusema asante ni muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Itakuwa ulisaidiwa wakati ulipokuwa na shida ama ukasaidiwa njia moja ama ingine, kusema shukrani ni muhimu. Katika makala haya tumekupa lugha nzuri ya kusema asante na kukushukuru kwa wema uliofanyiwa. Read more
Umoja na wingi wa damu – Sarufi
Wingi wa “damu” ni “damu.” “Damu” ni nomino isiyohesabika. Haina wingi. (Neno “damu” ni majimaji mekundu yanayozunguka kwenye mishipa ya kiumbe) Read more