Category: Gospel
Sehemu hii inahusu uhusiano wako na Mungu na mafundisho muhimu ya kikristo.
Mistari na vifungu kuhusu hekima na maarifa kwenye biblia
Hapa utapata vifungu na aya za bibilia kuhusu hekima na maarifa. Mistari hizi zinasisitiza umuhimu wa kutafuta hekima, maarifa, busara na elimu, kukiri chanzo cha hekima kuwa ni Mungu, na faida zinazowaletea wale walio nazo. Read more
Mistari ya biblia kuhusu mahusiano
Mistari hiii inatoa mwongozo na hekima kuhusu mambo mbalimbali ya mahusiano kama vile: upendo, uaminifu, urafiki, na ndoa, kama inavyoonyeshwa katika Biblia. Read more
Mistari ya biblia kuhusu baraka
Hizi hapa ni mistari ya biblia kuhusu baraka, kukusaidia kupata baraka kutoka kwa Mungu na kuwabariki watu wengine. Read more
Mistari ya toba katika biblia
Toba ni kujisikia huzuni kuhusu dhambi yako na kuamua kubadilika. Wale wanaotubu hukataa dhambi na kutambua kwamba wanamhitaji Yesu ili waokolewe. Hizi hapa ni mistari ya toba katika biblia za kukusaidia kutubu dhambi zako. Read more
Mistari ya biblia kuhusu upendo
Upendo ni kiungo kinachtunganisha sisi kwa sisi na kwa Mungu. Upendo wa kweli ni kumpenda mwenzako na mungu wako. Hizi ni mistari ya biblia kuhusu upendo. Read more
Mistari ya biblia kuhusu msiba na za kutia moyo.
Ikiwa sahii uko na msiba k.v majonzi, kufiwa, shida n.k, hizi ni mistari ya biblia kuhusu msiba za kukutia moyo. Read more
Mistari yenye nguvu na motisha katika biblia
Neno la Mungu lina msukumo wote tunaohitaji ili kuishi maisha yetu ya kila siku kwa ujasiri, furaha na nguvu. Hapa kuna mistari yenye nguvu na motisha katika biblia kuthibitisha hilo: Read more
Mistari ya biblia ya ulinzi na usalama
Hapa tutakupa mistari ya biblia ya ulinzi na usalama yeye itatupa hakikisho kuwa Mungu ako nazi katika kila jambo tufanyalo. Read more
Mistari ya shukrani katika biblia
Katika Makala haya tumekupa mistari kutoka kwa biblia ya kupiga shukrani kwa Mungu kwa mengi ambayo amekutendea. Read more
Mungu ni pendo lyrics na maana ya Mungu ni upendo
Msemo wa “Mungu ni upendo” unatokana na kifungu cha Biblia katika 1 Yohana 4:7-8: “ Wapenzi, na mpendane; kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu. Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo.” Read more